other blog

Jumatano, 3 Agosti 2016

Mashirika ya kitawa kwa wote mnaotaka kuwa watawa

karibuni wote mjiunge na utawa maisha matakatifu ni maisha ya kazi na sala wanaotaka kuwa mabruda ... waandike barua kwa anuani ifuatayo mkurugenzi , scim brothers, s.l.p 29 Tosamaganga, Iringa. kumbuka kigezo uwe tu hujaoa na pia uwe umehitimu kidato cha nne. pia lipo shirika la mtakatifu carmel lilopo bunju kwa  malezi ya kipadre wote wenye nia mnaombwa kutuma maombi yenu kwa mkurugenzi tz kwa mawasiliano zaidi watumie email carmelitestz@gmail.com na Kwa upande wa masisita soma kibandiko cha mtakatifu consolata missionery kwa malezi ya kisista yaani utawa wa kwanza na pia shirika la mtakatifu charles borromeo

kumbuka mabruda na masista lazima uwe mhitimu wa kidato cha nne. pia uwe hujaoa wala hujazaaa  na kwa upande wa upadre lazima uwe mhitimu wa kidato cha sita na kufaulu uwezo wa kwenda chuo kikuuu ... karibuni utawani tujifunze maisha halisi ya bwana wetu yesu kristo.. Tumsifu yesu kristo .... kwa maelezo zaidi usisite kunipigia simu 0743719830

Alhamisi, 9 Juni 2016

UMMA KUHUSU KUFUNGWA KWA MUDA WA KUPOKEA MAOMBI YA UDAHILI WA KOZI ZA CHETI, DIPLOMA, DIPLOMA YA JUU NA SHAHADA YA KWANZA KUPITIA MFUMO WA UDAHILI WA PAMOJA (CAS) UNAORATIBIWA NA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)

 
Tarehe 3 Juni 2016 ilikuwa siku ya mwisho ya kuwasilisha maombi ya udahili wa kozi za Cheti, Diploma, Diploma ya Juu na Shahada ya Kwanza kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) unaoratibiwa na NACTE.
Baraza linapenda kuwaarifu waombaji udahili wa kozi tajwa hapo juu na umma kwa ujumla kuwa, kwa sasa maombi yote yaliyowasilishwa mpaka tarehe 3 Juni 2016 saa sita usiku yameanza kuchambuliwa kwa ajili ya kuchagua waombaji wenye sifa stahiki. Zoezi la kuchambua waombaji udahili na hatimaye kuchagua waombaji wenye sifa stahiki na waombaji hao kuidhinishwa na mamlaka husika na kutangazwa litachukua muda wa wiki nne (4) kuanzia tarehe 3 Juni, 2016.
Baraza linatambua uwepo wa waombaji wapya na baadhi ya waombaji walioshindwa kuwasilisha maombi yao kupitia mtandao ilipofika tarehe 3 Juni 2016. Waombaji wa namna hii na wengine wanaopanga kuwasilisha maombi yao kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) wanaombwa kuwa na subira mpaka hapo majina ya waombaji waliowasilisha maombi yao kabla ya kufungwa kwa mfumo watakapotangazwa.
Baada ya kutangazwa majina ya waombaji waliochaguliwa, Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) utafunguliwa tena kwa ajili ya kujaza nafasi za udahili ambazo zitakuwa hazijajazwa na waombaji waliowasilisha maombi yao kuanzia tarehe 4 Machi, 2016 hadi tarehe 3 Juni 2016.
Baraza linatarajia kufungua tena Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) kwa ajili ya kozi za Cheti, Diploma, Diploma ya Juu na Shahada ya Kwanza wiki ya mwishoni mwa mwezi wa Sita, 2016.
Imetolewa na
Ofisi ya Katibu Mtendaji
NACTE
Tarehe: 9 Juni, 2016

Jumapili, 29 Mei 2016

AJALI MBAYA YATOKEA MAKERERE BARABARA YA KUSHUKA MWIKA ILIYOHUSISHA NOA ITOKAYO TARAKEA KWENDA MOSHI





Mungu ibariki Tanzania mungu iokoe Tanzania .. yatupasa kutubu kila wasaa maana hatujui siku wala saa kitakapo tokea kiama.. AJALI HIYO HAIKUPONYESHA HATA MMOJA WOTE KUMI NA TANO WALIKUFA WENGI WAKIWA NI WA TARAKEA.. CHANZO CHA AJALI HIYO INASEMEKANA KUWA NI HITILAFU YA GARI ILIPOFELI BREAK NA KUSABABISHA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA MARA KADHAA .. WALIOSHUHUDIA AJALI HIYO WANASEMA KUWA ABIRIA KUMI NA MBILI WALIAGA DUNIA PAPO HAPO NA WENGINE WATATU WALIFIA KCMC ... YA MUNGU NI MENGI SIFA NA UTUKUFU ZIRUDI KWAKE .. YEYE NDIYE MUUMBA ..YEYE NDO ANACHUKUA APEWE SIFA MILELE...ROHO ZA MAREHEMU WOTE WAPATE REHEMA KWA MUNGU WAPUMZIKE KWA AMANI.

Jumatano, 18 Mei 2016

Marketers, Project Manager, Teachers

Nafasi za kazi ardhi chuo kikuu.. Omba sasa



VACANCY ANNOUNCEMENT
Ardhi University has vacant position in
the Administrative cadre.
The University subscribes to the policy
of an equal opportunity employer and
therefore invites applications from
candidates who are interested to work
in a thriving University environment
and have the requisite skills,
Qualifications and experience for
various positions as indicated below;
Job Title: Insurance Manager (1
Post) Re -advertised)
Required Qualifications:
• Holder of first Degree / Advanced
Diploma in Insurance or a
• Diploma in Business Field plus a
Certificate in Insurance or any other
recognized professional
Insurance qualifications. AND 3 years
post qualification experience in the
Insurance Industry at,
managerial or executive position.
Duties
i. To run a department for handling
Insurance business at Ardhi
University.
ii. To develop competitive quotes, to
prompt of documents promptly, and
proper advice at
the time of claims.
iii. To maintain follow-ups of claims of
their prompt settlement by Insurance.
iv. To develop and nurse relationship
with clients through, physical visits
and various
communication platform.
v. To enhance public awareness of the
Agency through various
communication strategies.
vi. To build support with Institutions in
Tanzania in order to have their
Insurance routed
through ARU’S Insurance Agency.
vii. To maintain an accurate and
complete customer database and
networking with
construction firms in order to solicit
business on engineering for ARU’S
Insurance
Agency.
Duty Station for the advertised post is
Dar es salaam.
GENERAL REQUIREMENTS FOR ALL
APPLICANTS
1. All academic awards should be
from recognized Universities and
Institutions.
2. All applicants with certificates from
foreign Universities should have the
certificates verified by the Tanzania
Commission for Universities (TCU)
3. All applicants must submit signed
application letters accompanied with
the following:
i) Copies of relevant academic and
professional certificates;
ii) Three names and complete
addresses of referees;
2iii) Current CV
4. Age limit: Not above 35 years
5. Applications should reach the
University by using the address below
not later than 5Th May, 2016.
6. Only short-listed applicants will be
contacted.
7. Those applied during the first
advertisement need not to apply
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Interested applicants should submit
their applications to the undersigned:
The Deputy Vice Chancellor
(Planning, Finance and
Administration)
Ardhi University
P.O. Box 35176
DAR ES SALAAM

Jumatatu, 25 Aprili 2016

Hatimaye nothern highland teachers college yatoa wahitimu wa ualimu stashahada na astashahada ikiwa ni nahafali ya saba tangu kuanxishwa kwa chuo.






Wanao onekana kwenye picha ni wahitimu wa koxi mbalimbali xa ualimu chuo cha ualimu nothernhighland kilichopo moshi karibu kabisa na uwanja wa ndege moshi . Chuo hiki kinatoa mafunzo ya ualimu diploma ya msingi kwa waalimu ambao wapo kazini pamoja na mafunzi ya ualimu kwa wahitimu wa kidato cha nne wenye ufaulu wa division 3 au mwenye division 4 na amehitimu chuo kinachitambuliwa na serikali anaweza kujiunga na kozi hixo zs ualimu maombi yote yanapatikana hapa www.nacte.co.tz kisha chagua chuo bora cha northern highland kama chaguo la kwanza.. Ni chuo bora chenye bei nafuu na wAalimu mahiri.. Karibuni nyote.

Ijumaa, 8 Aprili 2016

Kimeta, kimeta, kimeta, chatishia Rombo chaua nane user na tarakea, nne kooti na sita mkuu...serikali itangaze tahadhari.


[image_2

Zinazoonekana hapo juu ni nyama za mbuzi ambazo tiyari zimeshaandaliwa kuuzwa kwa wakazi wa eneo la useri..


Leo ni siku ya tisa ambapo ugonjwa hatari wa wanyama ujulikanao kama kimeta kulaza watu wapatao 16.. nikifanya mahojiano ya moja kwa moja na wamama pamoja na wakazi waliothiriwa na ugonjwa huo wa tarakea na useri nawanukuu" tulinunua nyama ya ng'ombe ambayo tiyari ilishapimwa na madaktari na kusema aendelee kuuza lakini cha kushangaza tukasikia wengi waliotumia ile nyama wamekimbizwa hospitalini ilitubidi sis wenyewe tujihami kwa kukimbilia hospitalini na kupewa matibabu haraka na kupata nafuu ..huku tukiambiwa kuwa wenzetu wamekwisha fariki.. nililia sana na kuilaumu serikali kwa,nini watuletee madaktari feki wa mifugo.. bac tunaomba,serikali itangaze hali ya tahadhari ya kula, nyama kwani mpaka sasa sio serikali ya kijiji mpaka wilaya zote zimenyamaza tu. Serikali ituonee huruma.." walimalizia wakazi hao
Mpaka sasa inasemekana watu 16 wameaga dunia kwa kula nyama hiyo ya kimeta Rombo huku serikali ikijitahidi kupita kutangaza ukusanyaji na ulipaji wa kodi kila siku huku suala la kimeta likitupwa nje .. watalipa je kodi kama watakufa kimeta? Serikali piteni na mtangaze tahadhari ya kutokula nyama.. suala la madaktari kuna,wengine hatujui kama walilazimishwa kufanya kazi hiyo inakuwaje huyu anasema uza na mwingine anakuja anasema acha. Mimi nafungasha mikoba yangu na kuondoka kwani sina cha kuwasaidia labda tu taarifa zifike mahali husika maana hii nchi ina wenyewe .. imeandaliwa na wasonga mrombo kutoka wilayani rombo.