other blog

Jumatano, 3 Agosti 2016

Mashirika ya kitawa kwa wote mnaotaka kuwa watawa

karibuni wote mjiunge na utawa maisha matakatifu ni maisha ya kazi na sala wanaotaka kuwa mabruda ... waandike barua kwa anuani ifuatayo mkurugenzi , scim brothers, s.l.p 29 Tosamaganga, Iringa. kumbuka kigezo uwe tu hujaoa na pia uwe umehitimu kidato cha nne. pia lipo shirika la mtakatifu carmel lilopo bunju kwa  malezi ya kipadre wote wenye nia mnaombwa kutuma maombi yenu kwa mkurugenzi tz kwa mawasiliano zaidi watumie email carmelitestz@gmail.com na Kwa upande wa masisita soma kibandiko cha mtakatifu consolata missionery kwa malezi ya kisista yaani utawa wa kwanza na pia shirika la mtakatifu charles borromeo

kumbuka mabruda na masista lazima uwe mhitimu wa kidato cha nne. pia uwe hujaoa wala hujazaaa  na kwa upande wa upadre lazima uwe mhitimu wa kidato cha sita na kufaulu uwezo wa kwenda chuo kikuuu ... karibuni utawani tujifunze maisha halisi ya bwana wetu yesu kristo.. Tumsifu yesu kristo .... kwa maelezo zaidi usisite kunipigia simu 0743719830