other blog

Jumapili, 19 Februari 2017

shule za private zabainika nyingi kuwa ni za freemasons pamoja na shule na vyuo binafsi vinavyomilikiwa na kanisa katoliki pamoja lutheran ....monterssori wengi mnaifahamu kwa madhari mazuri. wazai kuweni makini

Basi ndugu msomaji wa eaglefm leo nimejaribu kukupekulia kuhusu ufrimasoni tanzania  dini iliyotaribiwa kuja kuongoza dunia miaka elfu moja ambapo atashuka mtu mmoja kwa jina la messia dajal shetani mwenye jicho moja tu na pembe mbili..  shetani huyu atashuka na watu wote watapaswa kumwabudu pasipo kupinga  kwani ukikiuka amri basi utaaga dunia, basi nikueleze  machache jinsi hali itakavyokuwa bibilia imeweka wazi kabisa katika kurasa za ufunuo wa yahani na kwenye kurani pia limeelezwa vizuri atakuja mtu huyo ambaye atakuwa anavaa mavazi mekundu na meusi na wasaidizi wake watavalia nguo nyeupe wakati waamini wake watakuwa wanavaa suti nyeusi na tai.. tena huduma nyingi zitaboreshwa  wanadamu watapigwa alama kwa wote watakao kubali kuwaabudu na huduma yeyote ile utapatiwa tu endapo una alama hiyo ...  mara nyingi kwa sasa wanatumia lugha ya ustaraabu na ukweli uliopo maraisi wengi wa dunia  ni watumishi wa free masoni hata bunge la wingeereza lina viti 789  lakini kiti namba 666 hakina mbunge mpaka sasa ni dhahiri kwamba wanamsubiria huyo mnyama mwenye namba 666 namba ya shetani mkuu atakayetumwa na lucifer.. na mpaka sasa freemasoni imeshaingia tanzania kupitia grand yao kubwa inayoitwa district grand lodge of east africa na makanis yao tanzania yapo daresalaam, mwanza, arusha, moshi na tanga ambapo grand hiyo ya afrika mashariki makao makuu yapo kenya ,, mpaka sasa wanamiliki hospitali kadhaa daresalam ikiwemo kunduchi health center na mikocheni clinical center, wanamiliki pia shule kadhaa za english medium, tena nyingi sikitumia jina la watakatifu na zinaongozwa na masister wa kanisa katoliki , mfano montesori school, na pia wanamiliki viwanda na center mbalimbali za watoto yatima.. kampuni ambayo ina ubia mkubwa na freemasoni ni kampuni ya simu ya vodacom tanzania ndio maana vodacom ina nertwork kubwa kenya inaitwa safaricom , pia ugand ipo na rwanda ipo na msumbiji ipo pia.. kuna matukio kadhaa yalishawahi kutokea kwamba mtu anapigiwa simu akishapokea anakufa papo kwa hapo hizo zilikuwa ni kafara za masheatani kama vodacom walikuwa wanajua kinachoendelea ndo maana hawakujibu chochote.. cha kunishangaza ni wazazi kuamini hizi shule za mchepuo wa kiingereza bila kujua madhara yake ya harakaharaka sijiui huwa hawajiulizi maswali mengi kwani wao walisomea huko shtukeni na kuweni makini na hivi vyuo vya hivi karibuni pamoja na hizi hopitali mpya kule mnaenda kuandaliwa kuwa wafuasi wakubwa wa shetani hebu iangalie picha hii hapa chini .. anyaeonekana nis sisiter wa kanisa katoaliki tanzania kutoka montessori english medium iliyopo mwanza karibu sana na mji .. pia ndiye sisiter mkuu msimamizi wa taasisi ya montessori tanzania.
The Montessori School - Mwanza, Tanzania
The Montessori English Medium Primary School was established in Kiloleli, a small village close to Mwanza in 1995 by Sister Denise Mattle. The Primary School gets its students from a Montesori Kindergarten in Kawekamo, Mwanza.
For the students to continue their education, a Secondary School has been started and is still under construction.  In addition the Sister wishes to establish a Teacher's Training College to prepare teachers in the Montessori Method.
Although the government approves of her schools, it does not provide any funding.  However, the Sister's efforts were noticed by the Mwanza Freemasons and this project was adopted by the District grand lodge of east africa..         hiyo ni picha inayothibithisha uwepo wa freemason tanzani  na msaada wao katika elimu hata watu tunaowaamini nao wamo na huku wakitusisitiza tuachane na kuabudu shetani sijui huwa wana maana gani.

kwa maoni na ushauri usisahau kuniandikia kwenda namba 0753533359 au email me at kimarioerasmi@gmail.com   tukomeshe maovu tanzania..






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni