other blog

Alhamisi, 12 Novemba 2015

NAFASI YA KAZI HALMASHAURIYA WILAYA YA NGORONGORO MWISHO WA KUTUMA MAOMBI TAR 20 NOVEMBA 2015

HALMASHAURIYA WILAYA YA
NGORONGORO
NAFASI YA KAZI
Halmashauriya Wilaya ya
Ngorongoro imepokea kibali cha
Ajira Mbadala chenye Kumb.
Na.CB.170/371 /01 /'H’/77 cha
Tarehe 01 Septemba 2015.
Mkurugenzi Mtendaji we
Halmashauri yo Wilaya ya
Ngorongoro anawetangazia
Wananchi wote wenye sifa
kutuma maombi ya kazi kwa
kuzingatia vigezo na maelezo
yaliyo kalika Tangazo hili.
DEREVA DARAJA II (NAFASI 01)
SIFA
• Awe na Elimu ya kidato cha
nne (lV).
• leseni daraja C ya uendeshaji
pamoja na uzoefu kuendesha
magari kwa muda usiopungua
miaka mitatu (3) bila kusababisha
ajali.
• Mwenye cheti cha majaribio yo
Ufundi daraja Ia II.
NGAZI YA MSHAHARA
Kwe kuzingolia viwango vya
mishahara vya Serikali ngazi yo
Mshahara yo TGOS A kwa mwezi.
Majukumu ya Kazi
• Kuendesha magari ya
Halmashouri.
• Kuhakikisha gari na vyamba
vyake vipo katiko hali nzuri wakati
wote na kufanya uchunguzi wa
gari baada ya safari ili kugundua
ubovu unaohitaji matengenezo.
• Kufanya matengenezo madogo
madogo katika gari.
• Kutunza na kuandika daftari To
salari "Logbook" kwa safari zote.
MASHARTI YA JUMLA KWA
WAOMBAJI
• Mwombaji awe Raia wa
Tanzania.
• Mwombaji awe na umri kati ya
miaka 18 hodi 40.
• Barua zoIe ziandikwe kwa
mkono no ziambatane na nyaraka
zifualaza:-
• Maelezo binafsi (CV)
• Nakala za vyeti kidato cha 4 au
6, na cheti cha kuzaliwa.
• Picha ndogo moja (Passport
size) ya hivi karibuni.
• Transcript, "Testimonial",
Provisional Result au statement of
Result havitakubaliwa.
JINSI YA KUTUMA MAOMBI
Barua zote ziwe na anuani ya
mwombaji na namba ya simu
(kama ipo na zitumwe kwa:
Mkurugenzi Mtendaji,
HaImaShauri ya WiIaya ya
Ngorongoro,
S.LP. 1,
LOLIONDO
Tareheyo Mwisho yo kupokea
maombi ni tarehe 20/11/2015 saa
tisa na nusu (9:30) alasiri.
John K. Mgalula
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
NGORONGORO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni