other blog

Jumatatu, 26 Desemba 2016

MDADA AFARIKI GAFLA KANISANI ROMBO AKIWA ANAPAMBA KANISANI..

kwenye picha ni mdada aliyefariki gafla baada ya kuanguka juu ya jukwaaa kanisani mdada

aliyetambulikana kwa jina la CATHERIN ELIGI MANG'ORO alianguka kwenye aliteleza na kuanguka kwenye jukwaaa wakati akiwa anapamba jukwaa kwa ajili ya misa takatifu ya christmass.. dada huyo alipata ajali hiyo katika kigango cha kwamaksau kilichopo PAROKIA YA KENI ....ROMBO MKOANI KILLIMANJARO..

wadau walisaidiana ili kukimbiza hospitalini lakini huhudi zao pamoja na daktari hazikuzaa matunda.. DADA CATHERIN ametuachia pengo kubwa alikuwa mhitimu wa chuo kikuu msubiri ajira pasipo hata kufarahia matunda ya elimu yake mungu kamuita kwenda kumuandalia makao huko mbinguni.. tunaamini dada yetu aliaga akiwa anafanya  kazi ya kanisa basi na mbinguni ataendelea na kazi hiyohiyo ya kumsifu mungu..

tuliobaki mim na ww tumkumbuke mungu kila wakati kwani hatujui saa wa siku atakayojuja mwana wa mungu tumsifu mungu daima hekaluni

DADA YETU CATHERIN TULIKUPENDA ILA MUNGU KAKUPENDA ZAIDI ..MUNGU AKUREHEMU UPUMZIKE KWA AMANI.         AMINA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni