other blog

Jumatatu, 12 Desemba 2016

Nafazi za kazi serikalin wizara ya afya. Jinsia wazee walemavu na watoto.. Omba mapema...

NAFASI YA KAZI WIZARA YA
AFYA, MAENDELEO YA JAMII,
JINSIA , WAZEE NA WATOTO
Wizara YA Afya , Maendeleo
ya Jamii, JiNSIA , Wazee , na
Watoto imepeta kibali cha
mpango wa ajira ya dharula
kwa wataalamu wa fani za
tabibu na wauguzi mpango
huu utaendeshwa chini ya
mradi kwa ufadhili wa fedha
mfuko wa cdc, award no.
5U2GGHOO1062-03
kwa muda wa miaka miwili
mradi utaajiri watumishi
m192 ambao watafanya kazi
katika wilaya mbalimbali
zenye uhaba wa watumishi
wa kutoa huduma za afya
hasa kwa waathirika wa
wenye virus ivy UKIMWI .
watumishi hawa watalipwa
mshahara na stahiki nyingine
kwa kufuata tarabitu na
kanuni za serikali. Watumishi
wanao takiwa ni
- TABIBU
WASAIDIZI
(NAFASI 95)
wenye ngazi ya
astashahada
(CERTIFICATE IN
CLINICAL
MEDICAL)
- WAUGUZI
(nafasi 97 )
wenye ngazi ya
astashahada
(CERTIFICATE IN
NURSING AND
MIDIWIFERY)
Wizara inakaribisha maombi
ya kazi kutoka kwa
watanzania wenye sifa
zilizotajwa hapo juu , wawe n
vitu vifuatavyo
- Cheti cha
kumaliza  kidato
cha nne
- Cheti cha
taaluma
aliyosomea
kutoka kwenye
chuo
kinachotambulika
na serikali
barua ya
maombi
ionyeshe wilaya
unayotaka
kupangiwa
- Maombi
yatumwe kwa
KATIBU MKUU,
WIZARA YA AFYA,
MAENDELEO YA JAMII,
JINSIA, NA WATOTO,
6 SAMORAL MACHEL
AVENUE,
S.L.P 9083
11478, DAR ES SALAAM,
TANZANIA.
ORODHA YA HALMASHAURI
ZA WILAYA NA IDADI YA
WATUMISHI
WALIOPENDEKEZWA
ARUSHA
NA MKOA HALMASHAURI TABIBU WAUGUZI JUMLA
1 arusha Arusha CC 3 3 6
2 dar es salaam Ilala MC 3 3 6
Temeke MC 3 3 6
Kinondoni MC 3 3 6
3 dodoma dodoma MC 2 3 5
4 geita Geita DC 2 2 4
5 iringa mufindi DC 3 3 6
Iringa MC 2 2 4
6 kagera bukoba DC 3 3 6
Muleba DC 2 2 4
7 kigoma Kigma Ujiji MC 2 3 5
8. Kilimanjaro Moshi Dc 3 3 6
9i Lindi Lindi DC 2 2 4
10 Mara Musoms DC 2 2 4
Rorya DC 2 2 4
11 Mbeya Chunya DC 2 2 4
Kyela Dc 3 3 6
Mbarali DC 2 2 4
Mbeya DC 3 3 6
Mbozi DC 2 2 4
Rungwe DC 2 2 4
12 Morogoro Morogoro DC 3 3 6
13 Mwanza Nyamagana DC 3 3 6
Sengerema DC 2 2 4
14 Njombe Njombe DC 2 2 4
Wang’ing’ombe DC 2 2 4
15 Rukwa Sumbawanga DC 2 2 4
Sumbawanga MC 2 2 4
16 Ruvuma Mbinga DC 2 2 4
Songea MC 2 2 4
17 Shinyanga Kahama DC 3 3 6
Shinyanga MC 2 2 4
18 Tabora Igunga DC 2 2 4
Ndega DC 2 2 4
Tabora MC 3 3 6
19 Tanga

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni