other blog

Jumatano, 23 Septemba 2015

Maaaajabu haya .. mtoto mwenye miguu minnee azaliwa rombo ..kijiji cha kitowo


Mpenzi msomaji haya ni maajabu ambayo huwa hutokea kwa nchi za wenzetu lakini leo nishtuka sana na habari hizi ambazo hazijathibitishwa.. ila chanzo kmoja kinasema kwamba mtoto huyo alizaliwa katika zahanati ya kasuruwa.. tarehe 21/03/2014 na hadi sasa mtoto huyo amehamishiwa daresalamu ambako wanaishi wazazi wake ila nyumbani kwao ni kitowo ... habari hizi hazijathibitishwa pindi zitakapo kuwa sawa mtapata hapahapa eaglefm endelea kutufuatilia ili upate ukweli.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni