other blog

Jumapili, 26 Julai 2015

Mlipuko somalia wasababisha vifo 10


Takriban watu 10 wameuawa kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika hoteli moja katikamji mkuu wa Somalia Mogadishu.Mwandishi wa BBC katika mji huoanasema kuwa lori moja lilitumiwa kushambulia hoteli ya Jazeera karibu na uwanja wa ndege wa taifa hilo.Wajumbe wa kimataifa wamekuwa wakiishi katika hoteli hiyo ambayo imelengwa katika siku za nyuma.Ripota wetu anasema kuwa ni moja ya mashambulizi mabaya kuwahi kushuhudiwa mjini Mogadishu.Anasema kuwa magari ya ambulansi yameanza kuokota miili.Mshirikishe mwenzakoUnavyoweza kumshirikisha mwenzako

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni