other blog

Jumatatu, 27 Julai 2015

Watangaza nia wilaya ya rombo katika nafasi ya ubunge hatimaye wamwaga sera zao katika ofisi ya kijiji cha marangu,, kitowo..imeandaliwa na,wasonga mrombo..

Ni mkutano mkubwa kabsa uliowakutanisha wanaolele na watangaza nia ktka viti vya ubunge pamoja na udiwani wa kwanza alikuwa ni Emanueli tumaini kavishe kutoka kata ya makiidi.. mgombea huyu ndiye mgombea pekee ambaye ni kijana, ana umri wa miaka 38 ana degree ya sheria na uhasibu kutoka sua.. ameeleza mikakati mbalimbali kama vile kupanua elimu kwa kutumia mifuko ya bunge... kutoa hati miliki na waatalamu wa ardhi,...kusaidia makundi ya vijana kupata mikopo kwa ajili ya mtaji...na mwisho ni kutumia taaluma yake kuwasaidia hasa vijana.




Mwingine aliyeomba ridhaa ya chama kumsimamisha kama mgombea ni engeneer bernard boniface kavishe.


Mwingine ni mwanamke anayejiita Nortburga alphonce maskini mwenye digrii ya uzamili ktk sheria na pia alishawahi kuwa mkurugenzi wa halmashauri mbalimbali na pia ndiye aliyechuana na mramba mwaka 2010..


Mwingine ni kalisti silayo tootoz yeye ni mfanyabiashara tarakea na moshi.. anajihusisha na biashara ya kuuza vitabu vya vyuo na vifaa vya maabara pia ni mwanakamati ktk chuo cha ukunga huruma..

Mwingine ni meja generali msitaafu meja gabrieli pius meela huyu ni mwanajeshi msitaafu, ni mzee machachari sana akiongea kwa mbwembwe zote kwamba ameeanda smg ya kuimaliza chadema cha msingi tumpe ridhaa hiyo ya kututetea



Mwingine ni mr colman samora kange huyu ni msomi ana degree tatu moja ya sheria nyingine ya utawala bora na katiba na nyingine ni ya...





Wote wanaomba saport yako ili wapewe ridhaa ya kuongoza kimbo la rombo kupitia chama cha mapinduzi ccm.. ahsante.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni