other blog

Jumapili, 2 Agosti 2015

Vijana rombo hawasikii lolote kuhusu pombe za kienyeji ... swali ni je wamefunga ndoa na hizo pombe...?




Ni masikitiko na wala sio raha,, vijana wakionekana kuathiriwa na hizo pombe za kienyeji. Kwa nini nasema wameathirika? Inasikitisha kila muda vijana wamekaa vijiweni tena vya mbege na kimoraly .. cha kustaabisha serikali imeuchunA juu ya suala hilo huku vijana wakiendelea kuchoka kuliwa na mafunza na kuchafuka kupita maelezo... kwa kweli kwa mwenendo huu tutapoteza sana nguvu kazi kwa taifa...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni